RAMAPHOSA AKUBALI ANGUKO LA ANC, AWAACHIA WANANCHI


RAIS WA AFRIKA KUSINI Cyril Ramaphosa Amesema Matokeo Ya Uchaguzi Yaliyotangazwa Na Tume Huru Ya Uchaguzi Ya Nchi Hiyo Ni Ushindi Wa Demokrasia.

 Katika Matokeo Hayo, African National Congress (ANC) Imepata Asilimia 40.18, Ikifuatiwa Na Democratic Alliance (DA) Asilimia 21.81, Umkhoto We Sizwe (MK) Asilimia 14.58, Economic Freedom Fighters (EFF) Asilimia 9.52, Huku Vyama Vingine Vidogo Vikikusanya Jumla Ya Asilimia 13.91.

Matokeo Rasmi Yameonyesha ANC Imeshinda Viti 159 Katika Bunge La Taifa Lenye Viti 400, Ikishuka Kutoka 230 Hapo Awali.

Previous Post Next Post